Exodus 11:8

8 aMaafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Musa, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.

Copyright information for SwhKC